Jinsi ya Kuomba Malazi Chuo cha Mbeya MUST 2025

Jinsi ya Kuomba Malazi Chuo cha Mbeya MUST 2025

  • Posted by:
  • Posted on:
  • Category:
    ElimuElimu
  • System:
    Unknown
  • Price:
    USD 0

Leo katika makala360, Jifunze Jinsi ya Kuomba Malazi Chuo cha Mbeya MUST hatua kwa hatua kupitia tovuti ya www.must.ac.tz.

  1. Fungua tovuti ya chuo:
  2. Fikia mfumo wa SIMS:
    • Bofya sehemu iliyoandikwa SIMS (ipo juu upande wa kulia wa ukurasa).
  3. Ingia kwenye akaunti yako kwa mara ya kwanza:
    • Username: Ingiza admission number yako.
    • Password: Ingiza jina la ukoo kwa herufi kubwa (mfano: DAUDI).
    • Kisha bofya Login to Your Account.
  4. Badilisha nenosiri lako:
    • Ingiza password mpya sehemu ya New Password (zingatia masharti, mfano sahihi: Daud@2024).
    • Rudia tena hiyo password sehemu ya Confirm New Password.
    • Bofya Reset Password.
  5. Ingia tena kwa kutumia taarifa mpya:
    • Username: Admission number yako.
    • Password: Password mpya uliyoitengeneza.
    • Bofya Login to Your Account.
  6. Anza mchakato wa kuomba malazi:
    • Bofya sehemu ya Accommodation.
    • Kisha bofya Apply Accommodation.
  7. Jaza fomu ya maombi:
    • Jaza fomu inavyoonekana kwa usahihi.
    • Kwa wenye ulemavu, ambatanisha cheti cha ulemavu.
    • Kisha bofya Send Application.
  8. Angalia mrejesho wa maombi yako:
    • Bofya sehemu ya Application Status kuona hali ya ombi lako.

Soma zaidi:

  1. Walioitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) 2025
  2. Walioitwa kwenye Usaili Jimbo la Bahi 2025
  3. Ada ya Chuo cha Mbeya MUST 2025
  4. Sifa za Kujiunga na Chuo cha Mbeya kwa Waombaji Wenye Sifa za Kidato cha Sita
Rating

0

( 0 Votes )
Please Rate!
Jinsi ya Kuomba Malazi Chuo cha Mbeya MUST 2025

No votes so far! Be the first to rate this post.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *