
POST | DAKTARI BINGWA WA MASIKIO, PUA NA KOO DARAJA LA II ( MEDICAL SPECIALIST – EAR,NOSE AND THROATS II) – 2 POST |
EMPLOYER | MDAs & LGAs |
APPLICATION TIMELINE: | 2025-06-13 2025-06-26 |
DUTIES AND RESPONSIBILITIES | i.Kufanya kazi zote za matibabu hospitalini zinazohusiana na magonjwa mbalimbali katika fani husika.ii. Kufundisha wanafunzi katika vyuo vya afya vilivyo eneo lake la kazi.iii. Kuchunguza, kufuatilia na kuzuia milipuko ya magonjwa.iv. Kutayarisha elimu ya kujiendeleza ya watumishi wa afya.v. Kufundisha na kuelekeza watumishi walio chini yake.vi. Kusimamia wafanyakazi walio chini yake Kubuni.vii. kuendesha na kutathimini utafiti na kusambaza matokeo.viii. Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya fani yake.ix. Kutoa huduma za outreach katika kanda.x. Kutoa huduma za medical legalxi. Kushiriki katika kutengeneza na kusimamia utekelezaji wa Sera na Mipango ya Serikali juu ya afya.xii. Kushauri wizara kuhusu uendeshaji wa shughuli za afya nchini.xiii. Kushiriki katika kamati ya jopo la madaktari (medical board) kwa ajili ya 2 kustaafisha wafanyakazi kwa matatizo ya kiafya.xiv. Kutayarisha mitaala ya elimu ya kujiendeleza ya watumishi wa afya.xv. Kuandaa mipango na makisio ya bajeti ya huduma za afya. |
QUALIFICATION AND EXPERIENCE | Kuajiriwa wenye Shahada ya Uzamili ya Udaktari Bingwa au PhD kwenye fani ya Udaktari wa Masikio, Pua na Koo kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali. Wawe wamesajiliwa na Baraza la Madaktari Tanganyika. |
REMUNERATION | TGHS G |
Tuma maombi hapa, Usitume maombi kimazoea subiria PDF ili uwe na address unayotakiwa kuweka kwenye barua ya maombi.