Nafasi za Kazi AICT Shinyanga

Nafasi za Kazi AICT Shinyanga

  • Posted by:
  • Posted on:
  • Category:
    AjiraAjira
  • System:
    Unknown
  • Price:
    USD 0

Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Kanisa la Africa Inland Church Tanzania (AICT) Dayosisi ya Shinyanga limekuwa likitoa huduma kwawatoto wanaotoka kwenye kaya maskini kupitia kituo cha Huduma ya maendeleo kamilifu ya Mtoto (HolisticChild Development Ministry) kwa kushirikiana na Shirika la Compassion International Tanzania (CIT). Kanisakupitia Program za maendeleo kamilifu ya mtoto linalenga kuwafungua watoto katika umaskini kwenyemaeneo ya Kiroho, Kiuchumi, Kijamii na Kimwili (ambao ndio ujumla wa mtu), kwa shabaha yakuwawezesha wawe watu wazima wanaojua wajibu wao na wanaojitosheleza.

Watumishi wote wa Vituo vya Huduma ya Mtoto na Kijana ni waajiriwa wa kanisa la AICT kupitia Ofisi yaKatibu wa Dayosisi hivyo atawajibika kwa Katibu wa Dayosisi ya Shinyanga, na kusimamiwa moja kwamoja na Mchungaji Kiongozi (Kwa niaba ya Baraza la Local Church) na Kamati ya Huduma ya Mtoto, kwamujibu wa Mwongozo wa Ajira ya Dayosisi na Huduma ya Mtoto kiujumla ya Compassion InternationalTanzania (CIT) katika Ushirikawenza na Makanisa ya Kiinjili Tanzania.

Katibu wa Dayosisi AICT Dayosisi ya Shinyanga (Kwa niaba ya Baraza la Utendaji la AICT Dayosisi yaShinyanga), anakaribisha maombi kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi zifuatazo:

Pakua PDF hapa.

Soma zaidi:

  1. Nafasi za Kazi Bagamoyo Sugar Tanzania 2025
  2. Walioitwa Kwenye Mafunzo Jeshi la Zimamoto 2025
  3. Kozi zinanzotolewa Chuo cha Mbeya MUST 2025
  4. Fomu ya Kujiunga na Chuo cha Mbeya MUST 2025
  5. Jinsi ya Kuomba Malazi Chuo cha Mbeya MUST 2025
Rating

1

( 1 Votes )
Please Rate!
Nafasi za Kazi AICT Shinyanga

No votes so far! Be the first to rate this post.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *