Walioitwa kazini Ajira Portal/Utumishi (Public Service Recruitment Secretariat) tembelea tovuti rasmi kupitia ajira.go.tz kuona majina ya kuitwa walimu, afya na kada zingine kazini. Kisha bofya sehemu iliyoandikwa Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala ...
Makala 360 Latest Questions
Toleo la FIFA Club World Cup 2025 litakuwa la kihistoria kwani ni mara ya kwanza kabisa mashindano haya yatashirikisha vilabu 32 kutoka mabara yote. Mashindano haya makubwa ya vilabu yatafanyika nchini Marekani kuanzia tarehe 15 Juni 2025, yakiwakutanisha ...
Shirika la Reli Tanzania (TRC) ni shirika la umma linalosimamia na kuendesha huduma za reli nchini Tanzania, likiwa na dhamira ya kutoa usafiri wa uhakika, salama na wa kisasa kwa abiria na mizigo.
Majina ya waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi kwa mwaka 2025 tayari yametangazwa. Waombaji waliofanikiwa wametakiwa kuripoti katika vituo maalum vilivyopangwa kwa ajili ya kuanza mafunzo ya kijeshi.
OTEAS ni mfumo rasmi wa kielektroniki unaotumiwa na TAMISEMI kwa ajili ya kupokea maombi ya ajira kutoka kwa walimu waliomaliza mafunzo yao ya ualimu nchini Tanzania. Mfumo huu hurahisisha mchakato wa kutuma maombi bila kwenda ofisini.
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Conservation Ranger III – Office Management Secretary Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Mwombaji anatakiwa awe na Cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) akiwa amefaulu masomo ya Kiingereza na ...
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Conservation Ranger III – Record Management Assistant Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Mwombaji anatakiwa awe na Diploma (ngazi ya NTA 6) katika fani ya Usimamizi wa Kumbukumbu (Records Management) ...