Toleo la FIFA Club World Cup 2025 litakuwa la kihistoria kwani ni mara ya kwanza kabisa mashindano haya yatashirikisha vilabu 32 kutoka mabara yote. Mashindano haya makubwa ya vilabu yatafanyika nchini Marekani kuanzia tarehe 15 Juni 2025, yakiwakutanisha ...
Makala 360 Latest Questions
Walioitwa kazini Ajira Portal/Utumishi (Public Service Recruitment Secretariat) tembelea tovuti rasmi kupitia ajira.go.tz kuona majina ya kuitwa walimu, afya na kada zingine kazini. Kisha bofya sehemu iliyoandikwa Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala ...
Vituo/Venue vya Usaili Kada Mbalimbali May mpaka Juni 2025 Wasailiwa wote watakaofanya usaili wa mahojiano wa mwezi Mei hadi Juni, 2025 mnasisitizwa kuzingatia mpangilio wa vituo vya usaili wa mahojiano kama uliovyoainishwa kwenye kiambatisho hapo chini. Pakua PDF hapa ...
Hii hapa orodha ya Majina ya Waliochaguliwa JKT 2025 (Jeshi la Kujenga Taifa JKT) Wito wa Mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria kwa Wahitimu wa Kidato cha Sita Mwaka 2025 Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), ...
Orodha ya majina ya Waliochaguliwa JKT 2025 (Kidato cha Sita JKT) PDF Angalia hapa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) linawakaribisha vijana wote waliomaliza kidato cha sita mwaka 2025 kutoka Tanzania Bara kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Mujibu ...
Nafasi za Kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero amepokea kibali cha Ajira mpya kwa ikama ya mwaka 2024/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 ...