Mabadiliko ya Tarehe na Mahali pa Usaili wa Mahojiano Utumishi Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anawajulisha waombaji kazi wote waliopangiwa kufanya usaili wa mahojiano TABORA, kituo cha usaili kitakuwa SHULE YA SEKONDARI MIRAMBO badala ...
Makala 360 Latest Questions
Nafasi za Kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero amepokea kibali cha Ajira mpya kwa ikama ya mwaka 2024/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 ...
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Conservation Ranger III- ICT Officer (Programing) Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Mwombaji anatakiwa awe na Shahada ya Kwanza (Bachelor) katika mojawapo ya fani zifuatazo: Sayansi ya Kompyuta, Uhandisi wa ...
Orodha ya majina ya Waliochaguliwa JKT 2025 (Kidato cha Sita JKT) PDF Angalia hapa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) linawakaribisha vijana wote waliomaliza kidato cha sita mwaka 2025 kutoka Tanzania Bara kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Mujibu ...
POSTDOBI DARAJA LA II. – 56 POSTEMPLOYERMDAs & LGAsAPPLICATION TIMELINE:2025-06-13 2025-06-26JOB ...
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatekeleza mradi wa miaka mitano (2021/2022- 2025/2026) wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (Higher Education for Economic Transformation (HEET)). Kupitia mradi wa HEET Wizara imetenga fedha kwa ajili ya ufadhili ...
Majina ya waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi kwa mwaka 2025 tayari yametangazwa. Waombaji waliofanikiwa wametakiwa kuripoti katika vituo maalum vilivyopangwa kwa ajili ya kuanza mafunzo ya kijeshi.