Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Conservation Ranger III – Record Management Assistant Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Mwombaji anatakiwa awe na Diploma (ngazi ya NTA 6) katika fani ya Usimamizi wa Kumbukumbu (Records Management) ...
Makala 360 Latest Questions
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Conservation Ranger III – Technician (Mechanical) Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Mwombaji anatakiwa awe na Diploma katika fani ya Uhandisi wa Mitambo (Mechanical), kutoka chuo kinachotambulika.
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Conservation Ranger III- Legal Officer Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Mwombaji anatakiwa awe na Shahada ya Kwanza ya Sheria (LLB) pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Sheria kutoka Chuo ...
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Conservation Ranger III – Boat Operator Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Mwombaji anatakiwa awe na Cheti cha Kidato cha Nne (Form Four) pamoja na Cheti katika mojawapo ya fani ...
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Dereva Vivuko Wilaya ya Muleba Kuajiriwa Waliohitimu Mtihani wa Kidato cha Nne, wenye ujunzi wa kuendesha na kutunza mashua/vivuko uliothibitishwa na Chuo cha Dar es salaam Marine Institute au Chuo kingine ...