Majina ya waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi Tanzania 2025 tayari yametangazwa. Hii ni hatua muhimu kwa vijana waliotuma maombi ya kujiunga na jeshi hilo ili kupata mafunzo ya awali ya kijeshi kabla ya kuajiriwa rasmi.
Home/Polisi
Makala 360 Latest Questions
Majina ya waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi kwa mwaka 2025 tayari yametangazwa. Waombaji waliofanikiwa wametakiwa kuripoti katika vituo maalum vilivyopangwa kwa ajili ya kuanza mafunzo ya kijeshi.