Walioitwa Kazini TRA 2025, Baada ya matokeo ya Usaili Kutangazwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inafuraha kuwataarifu waombaji wote kuhusu hatua zilizofikiwa katika mchakato wa ajira uliotangazwa mwezi Februari 2025, ambapo nafasi 1,596 za kazi zilitangazwa kwa umma.
Home/TRA