
Machaguo ya wanafunzi kujiunga na Kidato cha Tano na Kozi za Vyuo vya Kati (Tamisemi)- 2025. Uchaguzi huu umefanyika baada ya kukamilika kwa matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne mwaka 2024, ambapo wanafunzi waliofaulu wamepangiwa shule au vyuo kulingana na ufaulu wao, tahasusi walizochagua, na nafasi zilizopo.
Wanafunzi wanaweza kubofya kiungo kilichoambatanishwa ili kuona orodha kamili ya waliochaguliwa kwenda shule au chuo kimoja, ambapo majina yamepangwa kwa urahisi kulingana na shule/chuo husika. Hii ni hatua muhimu ya maandalizi ya kuendelea na elimu ya sekondari ya juu au mafunzo ya kati katika mwaka wa masomo unaofuata.
ARUSHA | DAR ES SALAAM | DODOMA |
GEITA | IRINGA | KAGERA |
KATAVI | KIGOMA | KILIMANJARO |
LINDI | MANYARA | MARA |
MBEYA | MOROGORO | MTWARA |
MWANZA | NJOMBE | PWANI |
RUKWA | RUVUMA | SHINYANGA |
SIMIYU | SINGIDA | SONGWE |
TABORA | TANGA | ULIZA SWALI |
Hii hapa orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kidato cha tano first selection allocation 2025/2026.