Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Makala 360

Makala 360

Makala 360 Navigation

Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask A Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 794
Next

Makala 360 Latest Questions

Memo
  • 0
  • 0
MemoBegginer
Asked: June 13, 20252025-06-13T18:54:45+03:00 2025-06-13T18:54:45+03:00In: Fursa

MFAMASIA DARAJA LA II (PHARMACIST II) – 124 POST

  • 0
  • 0
MFAMASIA DARAJA LA II (PHARMACIST II). - 124 POST
POSTMFAMASIA DARAJA LA II (PHARMACIST II). – 124 POST
EMPLOYERMDAs & LGAs
APPLICATION TIMELINE:2025-06-13 2025-06-26
DUTIES AND RESPONSIBILITIESi.Kuainisha mahitaji ya dawa na vifaa na kuandaa bajeti yake.ii.Kuagiza,kununua,kuhifadhi na kusambaza dawa na vifaa tiba katika kituo chake cha kazi.iii.  Kuweka kumbukumbu za dawa.iv.Kuandaa orodha ya dawa za hospitali (Hospital Fomulary) kwa matumizi ya   kituo anapofanya kazi.v.  Kutoa dawa na vifaa tiba kwa wagonjwa.vi.Kusimamia matumizi sahihi ya dawa.vii.Kutengeneza dawa(compounding) kwa matumizi ya kituo anapofanya kazi.viii.Kukagua maduka ya dawa katika sekta binafsi.ix.Kutoa taarifa juu ya madhara yanayotokana na matumizi ya dawa (Adverse drug reaction).x.Kuwa katibu wa kamati Tiba ya Hospitali (Hospital Therapeutic Commitee) anapofanya kazi.xi.Kuelimisha watumishi walio chini yake, watumishi wengine wa sekta ya afya na jamii juu ya matumizi sahihi ya dawa.xii.Kusimamia utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Dawa katika kituo anapofanya kazi.xiii.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake. 
QUALIFICATION AND EXPERIENCEKuajiriwa  wenye shahada ya Famasi kutokachuo kinachotambuliwanaSerikaliwaliohitimu mafunzo ya vitendo kazini (Internship) ya mwaka mmoja ambao wamesajiliwa na Baraza la Famasi.
REMUNERATIONTGHS-B

Jiunge na Group la WhatsApp

Tuma maombi hapa, Usitume maombi kimazoea subiria PDF ili uwe na address unayotakiwa kuweka kwenye barua ya maombi.

  • 0 0 Answers
  • 0 Followers
  • 0
  • Share
    Share
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
    • Share on LinkedIn
    • Share on WhatsApp
Leave an answer

Leave an answer
Cancel reply

Sidebar

Related Questions

  • Ajira Mpya Tume ya Utumishi wa Mahakama (JSC)- 2025

    • 0 Answers
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO ULIOFANYIKA TAREHE 15/06/2025

    • 0 Answers
  • Mshahara wa Clinical Officer (CO) ni kiasi gani?

    • 1 Answer
  • Ajira Portal login Page - Sekretarieti ya Ajira 2025

    • 0 Answers
  • HESLB Samia Scholarship Application Guideline for 2025 - 2026

    • 0 Answers

Trending

Ajira Ajira Portal Halmashauri HESLB JKT Kazini MDAs & LGAs Mshahara Oteas Usaili

Explore

© 2025 Makala 360. All Rights Reserved
Created by Makala360