Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Conservation Rannger III – Human Resource Officer Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Mwombaji anatakiwa awe na Shahada ya Kwanza (Bachelor) katika mojawapo ya fani zifuatazo: Usimamizi wa Rasilimali Watu, Utawala wa Umma, Mipango ya Rasilimali Watu, Mahusiano ya Kazi, Usimamizi wa Biashara au Biashara (Commerce) akiwa amebobea katika Rasilimali Watu, kutoka chuo kinachotambulika.

Mwombaji atatakiwa pia kuhudhuria na kufaulu mafunzo ya kijeshi ya awali (recruit).
Tuma maombi hapa https://portal.ajira.go.tz/advert/display_advert/10426
Soma zaidi: Nafasi za Kazi Director of Licensing BRELA