Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Makala 360

Makala 360

Makala 360 Navigation

Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask A Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 714
Next

Makala 360 Latest Questions

Memo
  • 0
  • 0
MemoTeacher
Asked: May 27, 20252025-05-27T22:45:04+03:00 2025-05-27T22:45:04+03:00In: Fursa

Nafasi za Kazi Wilaya ya Mvomero

  • 0
  • 0

Nafasi za Kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero amepokea kibali cha Ajira mpya kwa ikama ya mwaka 2024/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025. Hivyo Watanzania wote wenye sifa wanatangaziwa kutuma maombi ya kazi kwa nafasi zifuatazo:-

Nafasi za Kazi Wilaya ya Mvomero

Ajira mpya zilizotamgazwa

1. Dereva – Nafasi 7

  • Awe amehitimu kidato cha nne (IV) na kupata Cheti cha Mtihani wa Kidato cha Nne(IV). Awe na leseni daraja ā€˜C’ au ā€œEā€ ya uendeshaji pamoja na uzoefu wa kuendeshaJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA RAISTAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAAHALMASHAURI YA WILAYA YA MVOMEROHalmashauri ya Wilaya Mvomero, S.L.P. 663, Morogoro, Simu: +255232934348, Nukushi: +2552334348,Barua pepe: ded@mvomerodc.go.tz, tovuti: http://www.mvomerodc.go.tzmagari kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali, Aweamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji Magari (Basic Driving Course)yanayotolewa na chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kinginekinachotambuliwa na Serikali.

2. Msaidizi wa Kumbukumbu – Nafasi 2

  • Mwombaji awe na Cheti cha Kidato cha Nne (IV) au Kidato cha Sita (VI) aliyehitimu Stashahada (NTA level 6) katika fani ya Utunzaji wa kumbukumbu kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali, mwenye ujuzi wa Kompyuta.

Jinsi ya kutuma maombi

Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa na ielekezwe kwa anuani ya Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, S.L.P 663 MOROGORO.

Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa ‘Recruitment Portal’).

  • Pakua tangazo la ajira hapa

Soma zaidi:-

  • Mabadiliko ya Tarehe na Mahali pa Usaili wa Mahojiano Utumishi
  • 0 0 Answers
  • 0 Followers
  • 0
  • Share
    Share
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
    • Share on LinkedIn
    • Share on WhatsApp
Leave an answer

Leave an answer
Cancel reply

Sidebar

Related Questions

  • OFFICE ASSISTANT II - 16 POST TPA

    • 0 Answers
  • SECURITY GUARD II - 50 POST TPA

    • 0 Answers
  • PLANNING OFFICER II - 3 POST TPA

    • 0 Answers
  • HYDROGRAPHER II - 3 POST TPA

    • 0 Answers
  • DIVER II - 5 POST TPA

    • 0 Answers

Trending

Ajira HESLB Kazini MASASI MDAs & LGAs Mshahara SIKONGE TPA Usaili Utumishi

Explore

© 2025 Makala 360. All Rights Reserved
Created by Makala360