Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Makala 360

Makala 360

Makala 360 Navigation

Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask A Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 730
Next

Makala 360 Latest Questions

Memo
  • 0
  • 0
MemoTeacher
Asked: May 28, 20252025-05-28T23:08:16+03:00 2025-05-28T23:08:16+03:00In: Fursa

TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 28-05-2025

  • 0
  • 0

Haya hapa majina ya walioitwa kazini Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 14-08-2024 na tarehe 05-04-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo yameorodheshwa katika tangazo hili. Orodha hii pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.

TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 28-05-2025

Wasailiwa wote waliofaulu usaili na kupangiwa vituo vya kazi watapaswa kupata barua zao za kupangiwa vituo vya kazi kupitia akaunti zao za Ajira Portal, sehemu ya My Applications. Baada ya kupakua barua hizo, wanapaswa kuzipakua (Download) na kuzichapisha (Print), kisha kuripoti katika vituo vya kazi walivyopangiwa kwa mujibu wa maelekezo yaliyomo kwenye barua husika angalia hapa majina.

Pakua PDF hapa

Aidha, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa vituo vya kazi wanapaswa kuripoti kwa Mwajiri katika muda uliopangwa wakiwa na vyeti halisi vya masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na Mwajiri kabla ya kupewa barua ya ajira. Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili, watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili na hivyo wasisite kuomba tena nafasi za kazi zitakapotangazwa.

Kwa Muhtasari:

  1. Matokeo yameorodheshwa kwenye tangazo hili, wakiwemo waliofanikiwa kutoka kanzidata.
  2. Barua za kupangiwa vituo vya kazi zinapatikana kupitia Ajira Portal, sehemu ya My Applications.
  3. Waombaji waliofanikiwa wanapaswa kuripoti kwa Mwajiri wakiwa na vyeti halisi vya masomo kama ilivyoainishwa kwenye barua zao za kupangiwa kituo cha kazi.
  • 0 0 Answers
  • 0 Followers
  • 0
  • Share
    Share
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
    • Share on LinkedIn
    • Share on WhatsApp
Leave an answer

Leave an answer
Cancel reply

Sidebar

Related Questions

  • OFFICE ASSISTANT II - 16 POST TPA

    • 0 Answers
  • SECURITY GUARD II - 50 POST TPA

    • 0 Answers
  • PLANNING OFFICER II - 3 POST TPA

    • 0 Answers
  • HYDROGRAPHER II - 3 POST TPA

    • 0 Answers
  • DIVER II - 5 POST TPA

    • 0 Answers

Trending

Ajira HESLB Kazini MASASI MDAs & LGAs Mshahara SIKONGE TPA Usaili Utumishi

Explore

© 2025 Makala 360. All Rights Reserved
Created by Makala360