Leo katika makala 360, Hii hapa orodha ya majina ya Walioitwa Kazini Ajira Portal na Utumishi 2025, PSRS Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote waliopata nafasi ya kushiriki usaili kwa kada mbalimbali kati ya tarehe 10/09/2024 hadi 05/04/2025 kuwa matokeo ya waliofaulu usaili huo yamechapishwa kupitia tangazo hili.
[dlpro-gallery image_url=”https://makala360.com/wp-content/uploads/2025/05/Screenshot-2025-05-06-at-11-06-11-20250605441050TANGAZO-LA-KUITWA-KAZINI-83.pdf.png”%5D
Kuitwa kazini Ajira Portal
Tangazo hili linaorodhesha majina ya waombaji kazi waliofaulu pamoja na wale waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali na sasa wamepangiwa vituo vya kazi kutokana na upatikanaji wa nafasi.
Jinsi ya Kupata Barua za Kupangiwa Kazi
Waombaji wote waliofaulu na kupangiwa kazi wanapaswa:
- Kufungua akaunti zao za Ajira Portal
- Kwenye sehemu ya “My Applications”
- Kupakua (Download) na Kuchapisha (Print) barua zao za kupangiwa kazi
- Kuripoti kazini kwa kutumia barua hizo
Walioitwa kazini Utumishi, Ajira Portal
Wale wote waliopangiwa vituo vya kazi wanapaswa:
- Kuripoti kwa Mwajiri ndani ya muda uliobainishwa katika barua zao
- Wakiwa na vyeti halisi vya taaluma kuanzia kidato cha nne na kuendelea kwa ajili ya kuhakikiwa kabla ya kupewa barua ya ajira rasmi
Kwa Waliokosa Nafasi
Kwa waombaji ambao majina yao hayapo kwenye tangazo hili, tunapenda kuwataarifu kuwa hawakufaulu katika usaili huu. Hata hivyo, wasikate tamaa; wanaalikwa kuendelea kuomba nafasi nyingine za kazi pindi zitakapotangazwa.
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA (06-05-2025)
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA (06-05-2025)
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA (06-05-2025)
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA (06-05-2025)
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA (05-05-2025)
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA (03-05-2025)
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawapongeza waliofaulu na kuwakaribisha rasmi katika utumishi wa umma wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Soma makala zaidi:
Mimi ni laboratory technician ,. Sijaajiriwa Bado naomba kujua matokeo yangu ya usaili uliofanyika tar 16/1/2025 na nikimaliza 2019,.
Naomba nafasi ya kazi Nina diploma ya general Agriculture
This information send to me in my email address is komuemmanuel200@gmail.com
Kwa majina naitwa Emmanuel Vivian komu. Me nimezaliwa mkoa wa dar es salaam.me nimezaliwa 27/12/2002 me nimemaliza kidato cha nne mwaka 2023.me nilikuwa naomba Sana nafasi ya KAZi katika ofisi yako. Me naishiih kata au mtaa wa Area c