Walioitwa kwenye Usaili Jimbo la Bahi 2025

Walioitwa kwenye Usaili Jimbo la Bahi 2025

  • Posted by:
  • Posted on:
  • Category:
    AjiraAjira
  • System:
    Unknown
  • Price:
    USD 0

Hii hapa orodha ya majina ya Walioitwa kwenye Usaili 2025 Afisa Mwandikishaji Jimbo la Bahi anapenda kuwatangazia kuwa, wafuatao wameitwa kwenye usaili wa nafasi za Waandishi wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki kwa ajili ya zoezi la Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura awamu ya pili utakaofanyika siku ya tarehe 7 Mei, 2025 katika maeneo yafuatayo:-

A) Waandishi wasaidizi: Usaili utafanyika katika Ukumbi uliopo Ofisi za Mkuu wa wilaya ya Bahi

B) Waendesha vifaa vya Bayometriki: Usaili utafanyika katika Ukumbi wa Ofisi za Mkurugenzi Mtendaji wilaya ya Bahi

Muda wa usaili ni saa mbili kamili (2:00) asubuhi.

Orodha ya majina ya walioitwa inapatikana kwenye mbao za matangazo kwenye kila kata na kwenye tovuti ya Halmashauri au hapa chini.

Angalia orodha ya majina hapa.

Soma zaidi:

  1. Ada ya Chuo cha Mbeya MUST 2025
  2. Sifa za Kujiunga na Chuo cha Mbeya kwa Waombaji Wenye Sifa za Kidato cha Sita
  3. Sifa za Kujiunga na Chuo cha Mbeya MUST 2025
  4. Mwongozo wa Upimaji wa Shule ya Msingi
  5. Marekebisho ya Majina ya Watahiniwa NECTA
Rating

0

( 0 Votes )
Please Rate!
Walioitwa kwenye Usaili Jimbo la Bahi 2025

No votes so far! Be the first to rate this post.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *