Sign Up

Sign Up to our social questions and Answers Engine to ask questions, answer people’s questions, and connect with other people.

Have an account? Sign In

Have an account? Sign In Now

Sign In

Login to our social questions & Answers Engine to ask questions answer people’s questions & connect with other people.

Sign Up Here

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Makala 360

Makala 360

Makala 360 Navigation

Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask A Question
  • User Profile
  • Edit Profile
  • Pending Questions
  • Pending Posts
  • Referrals
  • Messages
  • Questions
  • My Asked Questions
  • Waiting Questions
  • Asked Questions
  • Best Answers
  • Points
  • Activities
  • Log Out
Home/ Questions/Q 687
Next
In Process

Makala 360 Latest Questions

Memo
  • 0
  • 0
MemoBegginer
Asked: May 25, 20252025-05-25T17:13:29+03:00 2025-05-25T17:13:29+03:00In: Elimu

Udahili wa Ufadhili wa Wanafunzi wa Kike Program ya Msingi ya Sayansi

  • 0
  • 0

Jiunge na Group la WhatsApp

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatekeleza mradi wa miaka mitano (2021/2022- 2025/2026) wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (Higher Education for Economic Transformation (HEET)). Kupitia mradi wa HEET Wizara imetenga fedha kwa ajili ya ufadhili wa masomo katika Programu ya Msingi kwa wanafunzi wa kike waliopungukiwa na sifa kidogo za kujiunga na masomo ya elimu ya juu katika masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STUH). Programu hiyo itatolewa katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (CKHT).

Udahili wa Ufadhili wa Wanafunzi wa Kike Program ya Msingi ya Sayansi

Wanafunzi watakaohitimu na kufauli masomo katika programu hii kwa viwango vilivyowekwa watapata fursa ya kuomba udahili katika taasisi za Elimu ya juu nchini kwa kufuata taratibu zilizoainishwa na TCU, NACTIVET na chuo husika, ikiwa ni pamoja na sifa za kuomba mkopo wa masomo ya elimu ya juu kutoka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Tanzania bara na Tanzania visiwani. Waombaji wanaotoka Mikoa ambayo kijiografia haijafaidika, walemavu, yatima, familia masikini na zinazohudumiwa na TASAF na asasi zinazotambulika watapewa kipaumbele. Maombi yaambatishe vielelezo vilivyotajwa kutoka kwa wenye mamalaka ya kutoa vielelezo hivyo kama Daktari, TASAF, RITA, serikali za mitaa pamoja na nyeti vya kuhitimu.

CKHT kinayo furaha kutangaza awamu ya kwanza kwa mwaka 2025/2026 ya nafasi za ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wa kike wenye sifa zinazohitajika ili kujiunga na programu hii maalumu.

SIFA ZA KUJIUNGA
Muombaji ataweza kukubaliwa kujiunga kwenyě programu husika endapo atakuwa na vigezo vingine muhimu vifuatavyo:

  • Cheti cha Mtihani wa Elimu ya Sekondari (Kidato cha NNE) kikiwa na ufaulu angalau kwenye masomo manne ambayo yamepatikana kabla ya kufanya mtihani wa juu wa
  • Elimu ya sekondari au ufaulu unaofanania na chochote kati ya vifuatavyo:
  • Cheti cha Juu cha Mtihani wa Elimu ya Sekondari (Kidato cha SITA) kwenye masomo ya sayansi(Fizikia, Kemia,Baolojia, Hisabati, Uchumi na Jiografia) na angalau alama 1.5 kutoka kwenye masomo MAWILI
  • Diploma katika masomo ya STUH kutoka kwenye chuo kinachotambulika yenye ufaulu wa GPA ya 2.0 mpaka 2.9.
  • NTA Level 5/Professional Technician Level II Certificate.

Pakua PDF hapa chini.

  • 1 1 Answer
  • 13 Views
  • 0 Followers
  • 0
  • Share
    Share
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
    • Share on LinkedIn
    • Share on WhatsApp
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    1 Answer

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. omarysabrina94@gmail.com
      omarysabrina94@gmail.com
      2025-05-27T16:55:27+03:00Added an answer on May 27, 2025 at 4:55 pm

      Mimi ni mwanafunzi wa diploma katika masomo ya teknolojia na nahitajii kujiunga na elimu ya degree kwa ufaulu unaozidi GPA 2.9 Je naweza kunufaika na mradi huu

        • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp

    Sidebar

    Ask A Question

    Related Questions

    • Waliochaguliwa JKT 2025 (Kidato cha Sita JKT) PDF Angalia hapa

      • 0 Answers
    • Majina ya Waliochaguliwa JKT 2025 (Jeshi la Kujenga Taifa JKT)

      • 0 Answers
    • ajira.tamisemi.go.tz oteas

      • 0 Answers
    • Form Five Selection 2025 to 2026

      • 0 Answers
    • Selection Form Five 2025 to 2026

      • 0 Answers

    Trending

    Ajira Ajira Portal JKT Kazini Mshahara Oteas Polisi Selection Usaili Waliochaguliwa kidato cha tano 2025

    Explore

    © 2025 Makala 360. All Rights Reserved
    Created by Makala360